First, buy a stove liner from your local dealer. It only costs sh. 33/-much less than the price of one chicken, or 30 eggs. This is the only money you will spend. All the materials are in your homestead.
Kwanza, nunua mjengo wa Jiko la Maendeleo Kutoka kwa muuzaji aliyekaribu nawe. Bei yake ni shs. 33/- tu, ambayo ni rahisi kuliko bei ya kuku mmoja au mayai 30. Hizi ni pesa pekee utakazotumia kwa jiko lako. Mahitaji yote mengine yatapatikana katika boma lenu.
|
|
One wheelbarrow load anthill soil or 1 wheelbarrow load murrum |
and 1 wheelbarrow load flat and round stones |
| |
|
|
or 1 wheelbarrow load soft under soil mixed with sand and a
karai or half debe fire ash |
3 debes water |
Tools |
Silaha |
| |
Your tools are sufurias, debes, karais, panga, shovel. |
Silaha zako za kutengenezea jiko hilo ni sufuria, madebe, karai, panga na mwiko wa kujengea. |