Back to Home Page of CD3WD Project or Back to list of CD3WD Publications

CLOSE THIS BOOKA Guide to Make your Own Maendeleo One-pot Jiko - Jinsi ya Kujitengenezea Jiko la Maendeleo la Kutosha Chungu Kimoja (GTZ, 16 p.)
VIEW THE DOCUMENTIntroduction
VIEW THE DOCUMENTSteps to follow - Hatua za kutengeneza
VIEW THE DOCUMENTSteps to take - Hatua utakazochukua
VIEW THE DOCUMENTKitchen Management - Usimamizi Bora wa Jikoni
VIEW THE DOCUMENTEnergy Saving Tips - Mawaidha ya Kuokoa Kuni
VIEW THE DOCUMENTStove Maintenance - Masimamizi Ya Jiko
VIEW THE DOCUMENTBack Cover - Kinyume

Steps to follow - Hatua za kutengeneza

First, buy a stove liner from your local dealer. It only costs sh. 33/-much less than the price of one chicken, or 30 eggs. This is the only money you will spend. All the materials are in your homestead.

Kwanza, nunua mjengo wa Jiko la Maendeleo Kutoka kwa muuzaji aliyekaribu nawe. Bei yake ni shs. 33/- tu, ambayo ni rahisi kuliko bei ya kuku mmoja au mayai 30. Hizi ni pesa pekee utakazotumia kwa jiko lako. Mahitaji yote mengine yatapatikana katika boma lenu.

One wheelbarrow load anthill soil
Shehena moja ya gari ndogo la mkokoteni ya udongo wa kichuguu

or 1 wheelbarrow load murrum
shehena kama hiyo ya changarawe

and 1 wheelbarrow load flat and round stones
Pia utahitaji mkokoteni ndogo moja ya mawe madogo yaliyo mviringo na mengine yaliyo sambamba



or 1 wheelbarrow load soft under soil mixed with sand and a karai or half debe fire ash
au mkokoteni moja ya mchanga laini uliochanganywa na changarawe pamoja na karai moja au nusu debe la majivu

3 debes water
na pia madebe matatu ya maji

Tools

Silaha



Your tools are sufurias, debes, karais, panga, shovel.

Silaha zako za kutengenezea jiko hilo ni sufuria, madebe, karai, panga na mwiko wa kujengea.

TO PREVIOUS SECTION OF BOOK TO NEXT SECTION OF BOOK